Mkakati wa Kiulimwengu Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Watoto
Kila mwaka, watoto bilioni moja wanapitia ukatili majumbani, shuleni, kwenye mitandao au jamii zao, anazungumza wakili wa usalama wa watoto Howard Taylor. Tatizo ni la kijamii, kiuchumi, kisiasa -- na haraka. Katika mazungumzo ya kufungua macho, Taylor anaonyesha kwa nini tuna fursa adimu sasa hivi kutokomeza ukatili dhidi ya watoto na kutengeneza hatma nzuri kwa kila mtoto.

