Unataka kuwa na furaha? Kuwa mtu wa Shukrani
Kitu kimoja ambacho binadamu wote tunacho pamoja ni kuwa na furaha,anasema kaka David Steindl-Rast,mtawa na mwanafunzi wa imani.Na furaha,anasema,inazaliwa kutoka katika shukrani.Somo linalohamasisha katika kwenda polepole,kuangalia unapokwenda,na kwa hayo yote,kuwa na shukrani.
