Billy Graham akiongelea teknolojia,imani na mateso.
Akiongea katika mkutano wa TED mwaka 1998,Mchungaji Billy Graham anafurahia nguvu ya teknolojia kuboresha maisha na kubadilisha ulimwengu. -- lakini anasema kuisha kwa uovu ,mateso na kifo kutakuja tu ikiwa dunia itamkubali Kristo. Mazungumzo mahiri sana kutoka katika maktaba ya TED.
